Posts

Showing posts from February, 2017

PASI YA ASSIST ILIYOPIGWA NA IBRAHIM AJIBU

PASS YA IBRAHIM AJIBU vs TZ PRISONS Na Hereniko Baba Juan Mata Jana kulikuwa na mchezo mkali sana wa wa ligi kuu ya vodacom mabingwa wa muda wote wa CECAFA dhidi ya TZ Prison na Simba kuibuka na ushindi mnonon wa goli 3-0 huku Simba akicheza mpira mwingi sana kama Barcelona Siongelei Matokeo sababu ushindi kwa Simba n kawaida kama Yanga kufungwa 5 tu lakini ni kitendo cha Ajib kupiga pass ya dunia ambayo Ozil anaota aipige siku moja pass hyo ilienda kwa Mavugo na kufunga goli kaliiiiiiiiiiii Pass nilikuwa hivi ajibu alipata mpira magharibi mwa uwanja akaambaa ambaa kama Neymar mabeki wakaogopa kumkaba akasogea akainua shingo kama Eagle akawasha indicator akavuta pumzi akaomba dua akamuangalia Mavugo akapiga pass iliyochanganyika vitu vya Modric, Iniesta, Mata, Mikhtaryan, Carrick, Xavi Inasemekana Pass aliyoipiga ajib cadabra Jana kwenye nchezo wa vpl kwenye physics tunaita Density kwenye hesabu tunaiita Jometri kwenye kiswahili tunaiita Kiarifu kwenye English tunaiita Hawa the bu...
Your weekly Journey of Faith reflection. View this email in your browser ā€œLove is patient, love is kind. It does not envy, it does not boast, it is not proud.  It does not dishonor others, it is not self-seeking, it is not easily angered, it keeps no record of wrongs.   Love does not delight in evil but rejoices with the truth.  It always protects, always trusts, always hopes, always perseveres.ā€ā€‹ 1 Corinthians 13:4-7 Dear Boniface, Do you think loving is easy? We may think that it’s easy to love those we already love and hard to love those we dislike. But I challenge you this Valentine’s Day to think about the kind of love that God desires us to have for everyone. Everything we need to know to live a life of love—the formula for our behavior, attitude and even thoughts—is right in black and white in God’s Word! The fruit of the Spirit is more important than the gifts of the Spirit. Loving is more important tha...

Wale wazee wa kubeti fanya kupitia hapa kuna tips za kutosha kwajili ya mechi za kesho

TIPS AND PREDICTION KWA WANAOBET Manchester United vs Watford Manchester United extended their unbeaten run in the Premier League to 15 matches when they beat Leicester 3-0 away from home last weekend. Nearly half of those 15 games have ended all square, but at home against Watford you would expect them to add another three points to their tally. The visitors have only won two of their last nine Premier League games and have lost five of their last eight on the road. We’re not expecting a high scoring match here, and a rather low key 2-0 win for the hosts looks a likely outcome given the form of both teams. FST predicts ā€“ 2-0 Manchester United Middlesbrough vs Everton Everton played the starring role in the game of the Premier League season last weekend as they thrashed Bournemouth 6-3 at Goodison Park to make it five wins from their last eight games. Now they’re visiting a much more defensive Middlesbrough side who have lost four and drawn three of the...

Ishu ya madawa inaendelea

*Drug saga continues* Gwajima responds to RC Ikiwa kwa namna yoyote nimewahi kuona achia mbali kushika dawa za kulevya, Mungu anishushe chini. Ikuwa Makonda anasema ili kunitia mimi kwenye shimo la moto, kama ananionea Mungu amtangulize yeye kwenye shimo hilo. Makonda anampakazia Gwajima kuwa anahusika na biashara ya dawa za kulevya ili nani afurahi? Makonda mwenyewe anajua kuwa mimi nimeokoka na alikuja kanisani kwangu na nikamuombea. Makonda ajiulize, kwa kauli zake alizozitoa ni wakristo wangapi wamekufa mioyo, ni wachungaji wangapi wamefedheheshwa. Kama mimi najihusisha na dawa za kulevya, ningekamatwa kipindi cha uongozi wa Rais Kikwete kwa jinsi nilivyomkosoa. Mtakumbuka Makonda alishasema Waziri Mkuu ameruhusu shisha, mara amehongwa milioni 5, mara Kamanda Sirro hawezi kazi. Kama Kamanda Sirro kweli hawezi kazi, kwanini Makonda hakumwambia ndani ya Kamati ya Ulinzi ya Mkoa ambayo yeye ni M/kiti?. Makonda anasema mimi ni kaka yake, huo ni unafiki, huwezi kuniita kaka al...

Agnes Doris liund

<font color="#000000"><br />[img]https://www.jamiiforums.com/attachments/court-png.54031/[/img]<br /><br />[img]https://www.jamiiforums.com/attachments/mahakama_kuu_2-jpg.54032/[/img]<br /><br /><br />Tukio lenyewe lilitokea hapo majira ya asubuhi mnamo Februari 21, 1978. Ni baada ya kuambiwa mumewe wakati anaenda kazini kwamba akirudi asimkute hapo nyumbani, na kama akimkuta, atamtoa hapo nyumbani kwake uchi. Alikuwa na watoto wao wanne hapo nyumbani. Baada ya mumewe kuondoka, na yeye aliondoka na gari kuelekea mjini ambapo alinunua chupa kadhaa za sumu ya kuulia wadudu.<br /><br /></font><br /><font color="#000000">Alipofika nyumbani kwake, aliwaita watoto wake wote wanne chumbani kwake na kujifungia nao ndani, kisha akawaambia <i>"tunaondoka"</i> watoto wale walimuuliza, <i>"tunakwenda wapi?"</i> yeye akawajibu, <i>"tunasafiri, lakini hu...

ARMED ROBBERY

Image

Zaid ya majina 500 ya watuhumiwa wa dawa za kulevya

RC MAKONDA, MAJINA ZAIDI YA 500 MLIYOKABIDHIWA HAYA HAPA.!  ______________________________ December 2015 Gazeti la Jamhuri lilichapisha majina takriban zaidi ya mia tano ya watuhumiwa wa biashara za dawa za kulevya nchini ambayo yalikabidhiwa kwa Waziri wa mambo ya ndani, Mhe. Charles Kitwanga ambaye ameyafikisha kwa Mheshimiwa John Pombe Magufuli (kwa mujibu wa gazeti hilo). 1: Steven Gwaza (Upanga, Dar es Salaam). 2: Rebecca Wairimu Mwangi (Kenya) 3: Khatibu Bakari Khatibu (Magomeni) 4: Khalid Salimu Maunga (Uingereza) 5: Dhoulkefly Awadhi (Tabata Kimanga, Dar es Salaam) 6: Abdallah Pashua Kipevu (Kinondoni) 7: Diaka Brama Kaba (Guinea) 8: Ndjane Abdubakar (Liberia) 9: Sylivia Kaaya Namirembe (Uganda) 10: Farid Kisuule (Uganda) 11: Robinson Dumba Teise (Uganda) 12: Ismail Mugabi (Uganda) 13: Rashid Salim Mohamed (Uganda) 14: Mini Thabo Hamza (Afrika Kusini) 15: Kwako Sarfo (Nigeria) 16: Hamis Muhamed Mtou (Magomeni) 17: Mustapha Musa (Kinondoni) 18: Amani Said...

angalia video professor Lunumba akiisifu Tanzania na mheshimiwa JP.Magufuli kwa jinsi wanavyopambana na rushwa na ufisadi

Image

DIAMOND PLATNUMZ & NEYO NEW HEAT SONG MARRY ME "WATCH &DOWNLOAD

Image

AN ARTICLE REGARDING CHILD LABOUR

AN ARTICLE REGARDING CHILD LABOUR CHILD LABOUR IntroductionChild Labour refers the work done by under age children in order to live an ordinary life with essential needs. Instead of enjoying their moments of childhood, they are being forced to do work as Child Labour in an unhealthy environment. No parent want that their children work as a labour in their little age instead of playing, enjoying or getting good education for just getting a few amount in rupees; but still they are forced to do it due to the bad circumstances.Child trafficking has been the main concern for Indian government since 1980s; thus,the percentage of labour child is declining day by day but this major crime is still not stopped completely. There areso many workspaces where this non-acceptable crime occurs like agriculture, house hold activities, restaurants and dhabas, real estate, unsafe manufacturing industries (glass, match box, fireworks or coal mines), etc.Laws made by Government to Stop Child Labour...

Ubadhirifu TFF

bri wanaJF, Ufisadi TFF, zaidi ya bil 1.1 zachotwa ndani ya wiki moja, Nani anamlinda Malinzi nyuma ya pazia? na PCCB wanaogopa kumpandisha kizimbani Bwana Malinzi kwasababu gani ikiwa uchunguzi wameshakamilisha? Ndugu zangu wanaJF, Maafisa wa Tume ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa PCCB makao makuu wamekamailisha uchunguzi dhidi ya pesa zilizochotwa katika akaunti ya TFF ndani ya wiki moja zaidi ya TZS bil 1 za kitanzania mwezi Agosti 2016. Aidha PCCB ilishawahoji Jamal Malinzi rais wa TFF, Mwesigwa Selestine katibu mkuu wa TFF zaidi ya mara nne kutaka maelezo juu ya pesa hizo zilitolewa katika akaunti ya shirikisho na kwenda kusikojulikana. Inasemekana fedha hizo zimetumika kwenye kampeni za chaguzi za mikoa kuelekea uchaguzi mkuu wa TFF mwaka huu 2017. Naomba ifahamike kuwa Shirikisho la mpira wa miguu(TFF) walipokea fedha hizo kutoka FIFA kwa ajili ya maendeleo ya mpira wa miguu nchini hususani vijana na wanawae, lakini katika hali ya kushangaza zimechukul...

Professor ibrahim Haruna Lipumba Katika kipindi cha Funguka Azam Tv

Prof Lipumba amezungumza ktk kipindi cha FUNGUKA cha Azam Two kinachoongozwa na Tido Mhando.Amehojiwa mambo mengi ikiwemo sbb ya yeye kuondoka ktk UKAWA na kukaa pembeni kwa miezi 10 baada ya kujiuzulu.Lipumba anasema akiwa UKAWA walikubaliana kuwa mgombe wa UKAWA awe Dr Slaa,na yeye alikubali kumuachia Dr Slaa ili awe mgombea wa Urais wa UKAWA.Lakini cha kushangaza akiwa katikati ya harakati za uchaguzi,Prof Lipumba alipata taarifa kuwa Katibu wake Maalim Seif anaendeleza maongezi na Mbowe kumkaribisha LOWASSA kuwa mgombea wa UKAWA.Akapata nafasi ya kuonana na Lowassa na wakakubaliana na Lowassa na team yake wahamie UKAWA,na yeye Lipumba alifika mpaka kwa Lowassa kwa kupelekwa na James Mbatia.Lipumba anamshangaaa Maalim Seif inakuaje alikubali kuzungumza na CCM walioiba kura zake Mara kadhaa na hata kuua Wanachama wa CUF 2001 lakini hataki kuzungumza na Lipumba eti kisa karudi CUF kipi kibaya zaid Kati ya yeye kurudi CUF na Wanachama wa CUF kuuawa kwa Risasi za Moto lakini a kakubali ...

SINTOFAHAMU YA MAMA WA TANGA ALIYEMLILIA MHESHIMIWA RAIS J.P.MAGUFUL KUHUSU MIRATHI YAKE

*Another side of the story ya Yule mama aliyemlilia Magufuli kuhusu mirathi* Forwarded in its entirety from Tanzanet Khatri, Uko sahihi kabisa! 100%. Hii kesi naijua kwa undani sana; wahusika wote nawafaham. Kwa kifupi, huyo mama anayelalamika hapo ni TAPELI wa kutupwa. Narudia ni TAPELI wa kutupwa. Mengi aliyosema hapo kwa Raisi ni uongo! Nimefurahi kuona raisi ameagiza uchunguzi ufanyike. Hii ni kesi ya mirathi. Marehemu Mohamedi Shosi alikufa Oct 2012 na kuacha wake wawili na watoto watano kule Bombo Tanga. Na amewaachia nyumba kadhaa zaurithi lakini kubwa kabisa iko Arusha na ina thamani ya takriban Sh 1B. Huyu mama anamuita Marehemu Mjomba na ni Wagunya wa Mombasa. Yeye ni Mkenya lakini Marehemu ni Mtanzania.  Mama ana watoto wawili ambao mmoja ameza na Mganda na wapili kazaa na MEthiopia.. Alijaribu kuwapenyeza kwenye mirathi akidai kuwa ni watoto wa Marehemu Shosi lakini alipoambiwa ifanyike DNA akarudi nyuma na kudai kuwa alizaa na mtu mwingine lakini marehemu aliwa...

Mkuu wa mkoa wa dar es salaam akitaja majina ya watu wanaotuhumiwa kujihusisha na matumiz na uuzaji wa dawa za kulevya

Image
Breaking news: Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam amewataja majina mtandao wa wauza unga au dawa za kulevya wakiwemo maofisa 9 wa jeshi la polisi mkoani kwake na wasanii wa mziki wa bongo flava na movie. Wapo pia ambao wako ndani wanashikiliwa na jeshi la polisi lakini wasanii hao wote wameambiwa kureport kituo cha polisi bila shurti. Nao hao maofisa tisa amempa siku 7 kamanda Siro kuwawajibisha na kama hata fanya hivyo basi kamanda Siro awajibike mwenyewe katika hilo. Na ameahaidi kuendelea na mapambano hayo ya kusaka mtandao wote katika mkoa wake aidha bia amesema yupo tayari kuacha kazi ama kufa kwa ajili ya hilo. Ameyasema hayo muda huu katika ofisi yake akiwa na waandishi wa habari. Source: RFA 12:30 P.M

KILOMETERS KUTOKA DAR ES SALAAM KWENDA MIKOANI

IIJUE TANZANIA NA MIKOA YAKE<br /><br />UMBALI WA KUTOKA DAR - ES - SALAAM KUELEKEA MAKAO MAKUU  YA MIKOA  MINGINE HAPA NCHINI. <br />  ( REGIONAL MAIN ROUTES ).<br /><br />1. DAR - ARUSHA *646* KM<br />2. DAR - KAHAMA *961* KM<br />3. DAR - BABATI via moro *876* KM<br />4. DAR - BARIADI *1127* KM<br />5. DAR - BUKOBA via kahama *1433* KM<br />6. DAR - DODOMA *451* KM<br />7. DAR - GEITA *1228* KM<br />8. DAR - IRINGA *492* KM<br />9. DAR - KIBAHA *35* KM<br />10. DAR - KIGOMA via itigi *1258* KM<br />11. DAR - KIGOMA via kahama *1476* KM<br />12. DAR - LINDI *452* KM<br />13. DAR - MBEYA *822* KM<br />14. DAR - MOROGORO *192* KM<br />15. DAR - MOSHI *566* KM<br />16. DAR - MPANDA via itigi *1383* KM<br />17. DAR - MTWARA *556* KM<br />18. DAR - MUSOMA *1370* KM<br />19. DAR - MWANZA *1152* KM<br />20. DAR - NJOMBE *710* KM<br ...

MANENO YA WAZIRI WA ARDHI MH. LUKUVI KUHUSU DIASPORA NA UMILIKI WA ARDHI NCHINI TANZANI

::Utanzania na uzawa ni Mungu sio siasa "Lukuvi":: Mimi na Watanzania wengi tulioko nje tutaendelea kuwa Watanzania kihalisi hata kama tupo China, Europe, America, nchi za Africa...... Utanzania wetu hautokani na passport au nani yuko madarakani na hautabadilika kwasababu Utanzania tumepewa na Mungu na si binadamu. Kitendo cha Lukuvi kusema Watanzania tunaoishi nje na wengine kuchukua passport hawana haki ya kumiliki ARDHI inaelekea hajui vizuri kwamba hii inagusa familia, mila zetu na kutikisa nchi yetu kuliko wakati wowote Tanzania. Je utachukua shamba langu la babu ambalo kuna makaburi kabla ya uhuru wa nchi kwasababu eti nimechukua passport ya nchi nyingine je unafikiri hata ndugu zetu wataruhusu hilo!. Unavyoserma kukana uraia je una ushaidi gani watu kukana uraia . Hizo ni sheria tu lakini Watu wengi wanao utaka uraia wa nchi waishizo haina maana hawautaki utanzania lakini jiulize sheria za kusoma nchi hizi ili upate scholarships unahitaji uraia, bima za afya, bima ...

Ni kwa nini Israel ina jeshi la kisasa zaidi kwa teknolojia

Israel ni miongoni mwa nchi zinazoongoza kwa mauzo ya silaha duniani, ikiwa inauza silaha zenye thamani ya dola za kimarekani bilioni 6.5 kwa mwaka. MWAKA 1950, miaka miwili tu baada ya taifa la Israel kuanzishwa, ujumbe wa kibiashara wa nchi hiyo ulifunga safari kwenda bara la Amerika Kusini. Nchi hiyo ilikuwa inahitaji wenza kibiashara. Tofauti na adui zake wa Kiarabu, Israel haikuwa na maliasili kuendesha uchumi wake. Haikuwa na mafuta wala madini. Haikuwa na chochote. Ujumbe huo ulikuwa na mikutano kadhaa lakini ulikutana zaidi na vicheko. Waisraeli walikuwa wanajaribu kuuza machungwa, taa zinazotumia mafuta na meno ya bandia. Kwa mataifa kama Argentina, ambayo inapanda machungwa yake na imeunganishwa katika gridi ya umeme, bidhaa hizo hazikuwa na maana yoyote. Ni vigumu kufikiria aina ya bidhaa ambazo nchi hiyo ilikuwa inasafirisha nje miaka 67 iliyopita. Leo, Israel imeendelea kiteknolojia na ni miongoni mwa mataifa yanayoongoza kwa mauzo ya silaha nje ya mipaka yake ikiwa in...

TAMBUA HAYA NDIYO MAKOSA YANAFANYIKA WAKATI WANANDOA WANAPOKWENDA KULALA

Wapenzi wengi wanaishi kwa mazoea, hawajui nini wafanye na nini wasifanye kwa ajili ya kupalilia mapenzi yao na matokeo yake, inakuwa rahisi mume kumchoka mke au mke kumchoka mume kwa sababu ya vitu ambavyo wahusika wenyewe ndiyo wamevikaribisha. Yapo makosa ambayo watu wengi wamekuwa wakiyafanya wawapo chumbani na wenzi wao, iwe ni kwa kujua au kwa kutokujua. Hakuna muda wa muhimu kwa wanandoa au wapenzi wanaoishi pamoja, kama ule muda kabla hamjapitiwa na usingizi. Ukiwa makini, utayafurahia mapenzi lakini ukikosa umakini na kuyafanya makosa yafuatayo, utakuwa unaiua ndoa yako kwa mikono yako mwenyewe. Yafuatayo ni makosa ambayo wapenzi wengi huyafanya kila siku na kusababisha mapenzi yapungue taratibu: KWENDA KULALA MUDA TOFAUTI Yawezekana watu wengi wanalichukulia suala la kila mmoja kwenda kulala kwa wakati wake kama jambo la kawaida. Kwamba wanandoa au wapenzi wanaishi pamoja lakini kila mtu ana ratiba yake ya kwenda kulala, huyu akiwahi leo kupanda kitandani, yule anachelew...

TUKIO LA RAIA KUPIGWA RISASI NA ASKARI WA SUMA JKT

WATU wanne wameuawa kwa kupigwa risasi na askari wa ulinzi wa Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMA JKT) huku mwanafunzi wa darasa la tatu anayesoma Shule ya Msingi Lemingori iliyopo Oldonyosambu wilayani Arumeru, Isaya Thomas (13) akiwa miongoni mwa majeruhi wa shambulio lililofanywa na askari hao. Kutokana na tukio hilo, Polisi inawashikilia askari sita wa Suma JKT kwa uchunguzi dhidi ya tukio hilo lililotokea Kijiji cha Kandaskirieti Kata ya Oldonyosambu Tarafa ya Mukulati huku miili ya watu wanne waliokufa kutokana na shambulio hilo, ikiwa imehifadhiwa katika Hospitali ya Mkoa ya Mount Meru. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Charles Mkumbo akizungumzia tukio hilo, alisema juzi saa 11 jioni katika Kijiji cha Kandaskirieti, watu wanne walikufa baada ya kupigwa risasi na askari wa Suma JKT. Alisema taarifa za awali zimebaini kuwa askari hao wa Suma JKT ambao ni walinzi wa shamba la miti la serikali la Meru Usa Plant, walianza kufanya operesheni ya kuondoa mifug...