Posts

HARAKATI ZA HAKI ZA BINADAMI NA MAHAKAMA ZA TANZANIA

From Yona Fares JAJI MWALUSANYA VS HUKUMU YA KIFO. Mwaka 1994 katika mahakama kuu mkoani Dodoma mbele ya Jaji Mwalusanya J, watu wawili Mbushuu Mnyaroje na Kalai Sungula walikutwa na hatia ya kosa la mauaji ambapo waliua mtu na kupora mifugo yake. Walikutwa na kosa la mauaji ya kukusudia (murder) kinyume na kifungu cha 196 cha Penal Code Cap 16.  Walitakiwa kupewa hukumu ya kifo kwa mujibu wa kifungu cha 197 cha Penal Code, Kunyongwa mpaka kufa kwa mujibu wa kifungu cha 26 cha Penal Code. Kabla jaji hajatoa hukumu wakili wa Mbushuu na Sungula wakili Rweyongeza aliibua hoja kuhusiana na adhabu ya kifo kwamba hukumu ya kifo ni kinyume kabisa cha katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ya 1977 ibara 13(6)(d) na (e) kwa maana kwamba hukumu ya kifo ni ya kikatili,ya mateso, inayotweza utu wa mtu na isiyo ya kibinadamu. Wakili Rweyongeza alienda mbali zaidi na kusema hukumu ya kifo ni kinyume cha katiba ibara ya 14 inayotoa haki ya kuishi, kwa hoja hizo aliiomba mahakam...

HII NDIO HOTUBA YA MWISHO ALIYOITOA COLONEL MUAMARY GADAFI KABLA YA KIFO CHAKE YANI INASIKITISHA NA KUTIA UCHUNGU

HOTUBA YA MWISHO YA GADAFFI KWA WA AFRICA GADAFFI ANAANZA HIVI: "Kwa jina la Mwenyezi Mungu (Allah), Mungu mpaji, na mwenye rehema.... Kwa miaka takribani 40 ama ilikuwa zaidi sikumbuki. Nachokumbuka ni kuwa nilifanya kila nilichoweza kuwapa watu wangu nyumba, hospitali na shule. Na kila walipohisi njaa niliwapa chakula. Niliifanya Benghazi kutoka jangwa kuwa ardhi nzuri ya kilimo. Nilisimama imara dhidi ya Ronald Regan (Rais wa zamani wa Marekani), alipomuua binti yangu niliyemuasili. Alikua anajaribu kuniua mimi lakini akamuua yule binti yatima masikini. Niliwasaidia kaka na dada zangu waafrika fedha kupitia AU. Nilifanya kila nililoweza kuwafanya watu wangu waelewe maana halisi ya demokrasia; ambapo watu wa tabaka la chini niliwapa madaraka. Lakini hawakuridhika. Hata aliyekuwa na nyumba ya vyumba kumi, nguo mpya, na fanicha nzuri, hakuridhika. Alihitaji zaidi. Kwa jinsi walivyokuwa wabinafsi walihitaji zaidi. Hivyo wakawaambia Marekani kuwa wanataka "demokr...

UNALOPASWA KULIJUA LEO: MAJUKUMU YA MAMLAKA MBALIMBALI ZA KISERIKALI

UNALOPASWA KULIJUA LEO: MAJUKUMU YA MAMLAKA MBALIMBALI ZA KISERIKALI BARABARANI. 1. SUMATRA: Anahusika na kusimamia mwenendo wa sekta ya usafirishaji. Yaani sekta hiyo iwe na utaratibu, isiwe na vurugu, na wachezaji ambao ni wasafirishaji wacheze kwa kufuata fair play kwa faida ya walaji ambao ni abiria. Kwa hiyo SUMATRA ni kama refa. Ndio maana anaitwa mdhibiti. Yeye anadhibiti watoia huduma na pia kuwawekea mazingira bora ya ushindani na kibiashara.Hawa sheria yao kuu ni SUMATRA ACT, TRANSPORT LICENSING ACT na kanuni zake.Chini ya sheria hizo wanatunga kanuni mbalimbali. ASICHOHUSIKA NACHO: Hahusiki na miundombinu ya barabara, wala ajira za madereva, wala alama za barabarani. SUMATRA ipo chini ya wizara ya uchukuzi. 2. TANROADS: Huyu yeye ni wakala wa miundombinu ya barabara. Yeye ndiye anahusika na ujenzi wa barabara, viwango vya barabara, madaraja, upana wa njia, alama za barabarani, na mizani. Hawa sheria yao kuu ni THE ROADS ACT 2007, na kanuni zake na kanuni zilizo chin...

PASI YA ASSIST ILIYOPIGWA NA IBRAHIM AJIBU

PASS YA IBRAHIM AJIBU vs TZ PRISONS Na Hereniko Baba Juan Mata Jana kulikuwa na mchezo mkali sana wa wa ligi kuu ya vodacom mabingwa wa muda wote wa CECAFA dhidi ya TZ Prison na Simba kuibuka na ushindi mnonon wa goli 3-0 huku Simba akicheza mpira mwingi sana kama Barcelona Siongelei Matokeo sababu ushindi kwa Simba n kawaida kama Yanga kufungwa 5 tu lakini ni kitendo cha Ajib kupiga pass ya dunia ambayo Ozil anaota aipige siku moja pass hyo ilienda kwa Mavugo na kufunga goli kaliiiiiiiiiiii Pass nilikuwa hivi ajibu alipata mpira magharibi mwa uwanja akaambaa ambaa kama Neymar mabeki wakaogopa kumkaba akasogea akainua shingo kama Eagle akawasha indicator akavuta pumzi akaomba dua akamuangalia Mavugo akapiga pass iliyochanganyika vitu vya Modric, Iniesta, Mata, Mikhtaryan, Carrick, Xavi Inasemekana Pass aliyoipiga ajib cadabra Jana kwenye nchezo wa vpl kwenye physics tunaita Density kwenye hesabu tunaiita Jometri kwenye kiswahili tunaiita Kiarifu kwenye English tunaiita Hawa the bu...
Your weekly Journey of Faith reflection. View this email in your browser “Love is patient, love is kind. It does not envy, it does not boast, it is not proud.  It does not dishonor others, it is not self-seeking, it is not easily angered, it keeps no record of wrongs.   Love does not delight in evil but rejoices with the truth.  It always protects, always trusts, always hopes, always perseveres.”​ 1 Corinthians 13:4-7 Dear Boniface, Do you think loving is easy? We may think that it’s easy to love those we already love and hard to love those we dislike. But I challenge you this Valentine’s Day to think about the kind of love that God desires us to have for everyone. Everything we need to know to live a life of love—the formula for our behavior, attitude and even thoughts—is right in black and white in God’s Word! The fruit of the Spirit is more important than the gifts of the Spirit. Loving is more important tha...

Wale wazee wa kubeti fanya kupitia hapa kuna tips za kutosha kwajili ya mechi za kesho

TIPS AND PREDICTION KWA WANAOBET Manchester United vs Watford Manchester United extended their unbeaten run in the Premier League to 15 matches when they beat Leicester 3-0 away from home last weekend. Nearly half of those 15 games have ended all square, but at home against Watford you would expect them to add another three points to their tally. The visitors have only won two of their last nine Premier League games and have lost five of their last eight on the road. We’re not expecting a high scoring match here, and a rather low key 2-0 win for the hosts looks a likely outcome given the form of both teams. FST predicts – 2-0 Manchester United Middlesbrough vs Everton Everton played the starring role in the game of the Premier League season last weekend as they thrashed Bournemouth 6-3 at Goodison Park to make it five wins from their last eight games. Now they’re visiting a much more defensive Middlesbrough side who have lost four and drawn three of the...

Ishu ya madawa inaendelea

*Drug saga continues* Gwajima responds to RC Ikiwa kwa namna yoyote nimewahi kuona achia mbali kushika dawa za kulevya, Mungu anishushe chini. Ikuwa Makonda anasema ili kunitia mimi kwenye shimo la moto, kama ananionea Mungu amtangulize yeye kwenye shimo hilo. Makonda anampakazia Gwajima kuwa anahusika na biashara ya dawa za kulevya ili nani afurahi? Makonda mwenyewe anajua kuwa mimi nimeokoka na alikuja kanisani kwangu na nikamuombea. Makonda ajiulize, kwa kauli zake alizozitoa ni wakristo wangapi wamekufa mioyo, ni wachungaji wangapi wamefedheheshwa. Kama mimi najihusisha na dawa za kulevya, ningekamatwa kipindi cha uongozi wa Rais Kikwete kwa jinsi nilivyomkosoa. Mtakumbuka Makonda alishasema Waziri Mkuu ameruhusu shisha, mara amehongwa milioni 5, mara Kamanda Sirro hawezi kazi. Kama Kamanda Sirro kweli hawezi kazi, kwanini Makonda hakumwambia ndani ya Kamati ya Ulinzi ya Mkoa ambayo yeye ni M/kiti?. Makonda anasema mimi ni kaka yake, huo ni unafiki, huwezi kuniita kaka al...

Agnes Doris liund

<font color="#000000"><br />[img]https://www.jamiiforums.com/attachments/court-png.54031/[/img]<br /><br />[img]https://www.jamiiforums.com/attachments/mahakama_kuu_2-jpg.54032/[/img]<br /><br /><br />Tukio lenyewe lilitokea hapo majira ya asubuhi mnamo Februari 21, 1978. Ni baada ya kuambiwa mumewe wakati anaenda kazini kwamba akirudi asimkute hapo nyumbani, na kama akimkuta, atamtoa hapo nyumbani kwake uchi. Alikuwa na watoto wao wanne hapo nyumbani. Baada ya mumewe kuondoka, na yeye aliondoka na gari kuelekea mjini ambapo alinunua chupa kadhaa za sumu ya kuulia wadudu.<br /><br /></font><br /><font color="#000000">Alipofika nyumbani kwake, aliwaita watoto wake wote wanne chumbani kwake na kujifungia nao ndani, kisha akawaambia <i>"tunaondoka"</i> watoto wale walimuuliza, <i>"tunakwenda wapi?"</i> yeye akawajibu, <i>"tunasafiri, lakini hu...

ARMED ROBBERY

Image

Zaid ya majina 500 ya watuhumiwa wa dawa za kulevya

RC MAKONDA, MAJINA ZAIDI YA 500 MLIYOKABIDHIWA HAYA HAPA.!  ______________________________ December 2015 Gazeti la Jamhuri lilichapisha majina takriban zaidi ya mia tano ya watuhumiwa wa biashara za dawa za kulevya nchini ambayo yalikabidhiwa kwa Waziri wa mambo ya ndani, Mhe. Charles Kitwanga ambaye ameyafikisha kwa Mheshimiwa John Pombe Magufuli (kwa mujibu wa gazeti hilo). 1: Steven Gwaza (Upanga, Dar es Salaam). 2: Rebecca Wairimu Mwangi (Kenya) 3: Khatibu Bakari Khatibu (Magomeni) 4: Khalid Salimu Maunga (Uingereza) 5: Dhoulkefly Awadhi (Tabata Kimanga, Dar es Salaam) 6: Abdallah Pashua Kipevu (Kinondoni) 7: Diaka Brama Kaba (Guinea) 8: Ndjane Abdubakar (Liberia) 9: Sylivia Kaaya Namirembe (Uganda) 10: Farid Kisuule (Uganda) 11: Robinson Dumba Teise (Uganda) 12: Ismail Mugabi (Uganda) 13: Rashid Salim Mohamed (Uganda) 14: Mini Thabo Hamza (Afrika Kusini) 15: Kwako Sarfo (Nigeria) 16: Hamis Muhamed Mtou (Magomeni) 17: Mustapha Musa (Kinondoni) 18: Amani Said...